Tumetekeleza miradi ifuatayo;
- Ujenzi wa Bwawa la Masaka. Bwawa hili linapatikana katika Kijiji cha Masaka, Wilayani IrinTazama picha za Bwawa la Itamboleo hapaga. Tazama picha za Bwawa la Masaka hapa
- Ujenzi wa Bwawa la Manda. Bwawa hili linapatikana katika Kijiji cha Manda, Wilayani Chamwino. Tazama picha za Bwawa la Manda hapa
- Ujenzi wa Bwawa la Mtamba. Bwawa hili linapatikana katika Kijiji cha Mtamba, Wilayani Mpwapwa
- Ujenzi wa Bwawa la Itamboleo. Bwawa hili linapatikana katika Kijiji cha Itamboleo, Wilayani Mbarali. Tazama picha za Bwawa la Itamboleo hapa
- Ufukuaji wa Mto Kioga na Mto Mambi. Tazama picha hapa