Miradi inayoendelea

Kwasasa, Bodi ya Maji Bonde la Rufiji inatekeleza miradi ifuatayo;

  1. Ujenzi wa Ofisi za WUA katika Wilaya za Mbarali na Makete. Ujenzi huo kwa sasa umefikia asilimia 45. Bonyeza hpa kuona picha