UFUNGUZI WA JUKWAA
08 Oct, 2024 Pakua

Wataalamu wa Wizara ya Majina wawakilishi wa Benki ya Dunia wamekagua mradi wa maji wa Sange na Zahanati ya Masaika wilayaniPangani na kuridhishwa na utekelezaji wake.

Kazi hiyo inafanyikamkoaniTanga ikiwa niufuatiliaji wa miradi ya maji na usafi wa mazingira iliyo tekelezwa kupitia fedha za progamu ya lipa kwa matokeo (PforR)katika Sekta ya Maji.